TRA yamzulia utata semaji la CAF

Meneja wa habari wa klabu ya Simba SC, Ahmed Ally ameomba radhi baada ya kutoa kauli iliyoleta tafrani baada ya kuitaja vibaya Mamlaka ya mapato nchini, TRA.

Kwenye mahojiano yangu leo nikitoka Dodoma kurudi Dsm, nilinukuliwa nikisema Misimu iliyopita hatukufanya vizuri kwa sababu baadhi ya Wachezaji walikuwa wameridhika na Mafanikio, hawapambani yaaani wanacheza kama Wafanyakazi wa TRA

Mfano wa TRA umeeleweka vibaya kiasi cha kuzua taharuki na kwa mantiki hiyo sina budi kuomba radhi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania na wote waliokwazika na sentensi hiyo, amesema Ahmed Ally.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI