Mzamiru, Kagoma kuikosa Azam

Nyota wawili wa Simba SC ambao Yusuph Kagoma na Mzamiru Yassin hawatakuwa sehemu ya mchezo wa leo dhidi ya Azam Fc kukotana na majeraha ambayo yanawasumbua.

Kauli hiyo imethibitishwa na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmedy Ally kuwa kukosekana kwa wachezaji kama hao ni pengo kubwa lakini Simba ni timu kubwa na pia inawachezaji wengi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI