Mashujaa FC yaibana mbavu Azam FC

Timu ya Mashujaa FC jioni ya leo imeilazimisha Azam FC kwenda nayo sare isiyo na mabao 0-0 katika uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma mchezo wa Ligi Kuu bara.

Hali sio nzuri kwa Azam ambao msimu uliopita ilimaliza ligi ikiwa nafasi ya pili na kushiriki michuano ya Ligi ya mabingwa Afrika.

Kwasasa Azam FC imefikisha pointi 9 ikiwa imecheza mechi 6 lakini kwa jinsi ilivyo sidhani inaweza kuwa kama msimu uliopita

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI