Kocha Azam adai magoli yote ya Simba ni off side

KOCHA wa Azam FC Rachid Taoussi raia wa Morocco amedai magoli yote waliyofungwa na Simba yalikuwa off side na amesisitiza haraka sana iletwe VAR.

“Tunahitaji VAR magoli yote mawili ni offside za wazi , Simba ni timu kubwa hilo hatukatai niwapongeze wachezaji wangu lakini kwanini offside ni kwetu tu”

Maneno ya Rachid Taoussi kocha mkuu wa Azam FC baada ya kumalizika kwa mchezo.

Rachid Taoussi kocha wa Azam FC

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI