Kitasa cha Yanga, atambulishwa ST George

Beki wa zamani wa klabu ya Yanga SC ,Gift Fred ametambulishwa rasmi katika klabu yake mpya ya St George inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ethiopia.

Gift ameachwa na Yanga ili kumpisha Jean Baleke, alikuwa miongoni mwa mabeki wanaounda safu ya ulinzi ya timu hiyo uliochini ya Ibrahim Baka

Gift Fred



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI