Fountain Gate yaendeleza vichapo Ligi Kuu bara


Fountain Gate wanakwea kileleni mwa Msimamo wa NBCPL baada ya kuwachapa Kagera Sugar mabao 3-1 kwenye uwanja wao wa Nyumbani wa Tanzanite Mjini Babati.

Mabao ya Fountain Gate yamefungwa na Suleiman Mwalimu, Salum Kihimbwa na Elie Makono, goli la kufuta machozi la Kagera Sugar limefungwa na Obrey Chirwa


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI