Fiston Mayele atua Real Madrid


Mshambuliaji wa DR Congo na Pyramids FC Mayele alitembelea Santiago Bernabéu na kupiga picha na kombe la UEFA Champions League.

Mayele anaichezea Pyramids ya Misri lakini amewahi kuichezea Yanga SC ya Tanzania na AS Vita Club ya DR Congo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI