Camara aitwa tena timu ya taifa

Golikipawa Simba Sports Club, Moussa Pinpin Camara ameitwa timu ya taifa ya Guinea kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu AFCON dhidi ya Ethiopia.

Guinea dhidi ya Ethiopia mechi ya kwanza itachezwa Oct 12 na mechi ya pili Oct 15,2024.

Moussa Camara

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI