Staa wa bongomuvi anunua gari la kifahari

Staa wa msanii wa vichekesho vya mtandaoni  Clam Cris amenunua gari kali la kifahari ambalo litamfanya awe miongoni  mwa mastaa Tanzania wanaotesa na magari mazuri na ya kuvutia.

Msanii huyo ambaye kwasasa unaweza kusema ndio nambari moja akimzidi mbali Mkojani, amenunua gari kali aina ya Range Rover ni baada tu ya kurejea nchini akitokea DR Congo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI