Simba kujifua na Al Hilal

Agosti 31, Simba SC watacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Hilal .

Kocha Fadlu amehitaji mchezo wa kirafiki wa kujipima kabla ya kuvaana na Al Ahli Tripoli kwenye CAFCC.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI