Msuva, Samatta watemwa Stars, Job arejeshwa

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kitakachoingia kambini kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea.

Simon Msuva (30) na Mbwana Samatta (31) wote wamekosekana kwenye kikosi hicho.

Dickson Job amerejeshwa kikosini.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI