Kocha wa Mtibwa Sugar ashangaza kwa kutumia fimbo

Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar Melis Medo amekuwa akitumia fimbo katika Uwanja wao wa mazoezi Manungu Complex, Morogoro.

Mtibwa Sugar inayoshiriki Championship msimu huu imekuwa na mwalimu huyo ambaye anapenda kutumia fimbo katika ufundishaji wake.

Kocha huyo raia wa Marekani alivyokuwa anakinoa kikosi cha Coastal Union ya Tanga alikuwa akitumia fimbo hiyo katika Viwanja vya Popatraly.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI