JKT Tanzania yaibana mbavu Azam FC

Timu ya JKT Tanzania jioni ya leo imeilazimisha sare isiyo na magoli 0-0 Azam FC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara katika uwanja wa Meja Isamuya jijini Dar es Salaam.

Huu ni mchezo wa kwanza kwa Azam FC ambao wametokea nchini Rwanda walikocheza na APR michuano ya Ligu ya mabingwa Afrika na kutupwa nje kwa kufungwa kwa jumla ya mabao 2-1


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI