Hatimaye Haji Manara awa Mtendaji mkuu wa hamasa Yanga Fans

Uongozi wa klab ya Yanga rasmi umembadilishia majukumu aliyekuwa msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara na kuwa Mtendaji mkuu wa Kitengo hamasa ndani ya Yanga FANS ENGAGEMENTS,

Sasa Haji anaenda Kuongeza Nguvu ili kuisaidia Mabadiliko ndani ya klab ya Yanga kwenye zoezi la Usajili wa wanachama na mashabiki wa Yanga.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI