Dabo ana presha ya kufukuzwa Azam FC

Kocha mkuu wa timu ya Azam FC Youssouph Dabo amesema yeye wala haofii kufutwa kazi kwani katika maisha yake ya soka haogopi kabisa.

Dabo amesema kabla ya kufundisha Azam FC alikuwa anafanya kazi hiyo hiyo ya ukocha hivyo ataendelea kuwa kocha hata kama akifukuzwa kazi na waajiri wake.

"Kabla ya Azam FC nilikuwa kocha na baada ya Azam FC pia nitaendelea kuwa kocha, hivyo sina presha ya kufukuzwa."

Alisema Youssouph Dabo Kocha wa Azam FC.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI