CEO Bodi ya Ligi asema VAR rasmi kutumika Ligi Kuu

CEO wa Bodi ya Ligi kuu (TPBL) Almas Kasongo amesema VAR imeshafika Tanzania na imetolewa na CAF na tayari waamuzi wameshaanza mafunzo maalum ya kutumia kwenye michezo ya NBC Premier League na mafunzo yakishakamilika watapata kibali cha matumizi yake kutoka FIFA na CAF.



.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI