Azam FC yafurusha benchi lote la ufundi


Klabu ya Azam FC  imeachana na benchi lake lote la Ufundi likiongozwa na Kocha Yousouph Dabo 

Taratibu zote za uvunjwaji wa mikataba umeshamalizika na benchi la Ufundi limeshalipea stahiki zao


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI