AL AHLI TRIPOLI YARUHUSIWA KUMTUMIA MABULULU, SIMBA KAZI WANAYO


Klabu ya Al-Ahli Tripoli imethibitisha kuwa wamepata kibali kutoka CAF cha kumtumia mshambuliaji wao mpya Mabululu,

Mabululu alisajiliwa katika dirisha hili kubwa lililopita akitokea Al-Ittihad ya Egypt hakucheza mechi yoyote kwa sababu hakuwa na vibali, wameruhusiwa kumtumia kuanzia mechi zijazo za CAF.

Takwimu zake za ligi kuu ya Egypt akiwa Al-Ittihad katika misimu 3

Season : 23/24
Magoli 11 (mfungaji wa sita)
Assist 5

Season : 22/23
Magoli 16
Asist 1

Season : 21/22
Magoli 13
Assist 2


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI