Yanga watambulisha jezi za mpya 2024/2025

Mabingwa wa soka Tanzania bara Yanga SC leo wametambulisha jezi zao mpya ambazo watazitumia msimu ujao.

Agosti 4 mwaka huu Yanga wataadhimisha tamasha lao la Wiki ya Wananchi ambapo mbali ya kutambulisha kikosi chao pia watatambulisha na jezi zao mpya zenye rangi ya njano, kijani na nyeusi

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI