Simba yazindua jezi, neno Sanda laleta balaa

Klabu ya Simba SC leo imetambulisha jezi mpya watakazozitumia msimu ujao wa 2024/2025, lakini jezi hizo zimeleta tafrani baada ya neno la mbele kuandikwa "Sanda" jambo ambalo limewagawa mashabiki.

Simba leo imezindua wiki ya Simba Day kwenye mbuga ya wanyama ya Mikumi mkoani Morogoro, hata hivyo jezi za msimu huu ni bora kuliko za misimu yote iliyopita ila neno Sanda limeleta tafrani



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI