Simba yasajili mbadala wa Lakred

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya kumsajili golikipa wa timu ya Guinea, Moussa Camara mwenye umri wa miaka 25 kutoka Horoya AC ya Guinea.

Simba imeamua kumsajili kipa huyo baada ya kipa wake nambari moja Ayoub Lakred kuumia na atakaa nje kwa miezi sita na pia viongozi wa klabu wakishindwa kumuelewa kipa Aishi Manula


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI