Mapya, Kibu Denis arudisha pesa zote za Simba

Kibu Denis amerudisha pesa zote za signing fee alizopewa na Simba SC kupitia Bank ya MMB kwenye account ya Simba,Kibu Denis yuko Norway kwa ajili ya mapumziko.

"Sisi tunamtambua Kibu Denis kuwa bado ni mchezaji wetu, mchezaji wetu mtoro"


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI