Mangungu aongoza Ibada ya kuunusuru uongozi Simba usipinduliwe

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC Murtaza Mangungu hii leo ameongoza dua ya kuwaombea viongozi wa klabu hiyo pamoja na timu kufanya vizuri kuelekea kwenye msimu mpya wa 2024 - 25

Dua hiyo imefanyika katika uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju.

Simba imeamua kufanya dua hiyo kutokana na mwenendo wake kuwa mbaya msimu uliopita na kuambulia nafasi ya tatu kwenye Ligi Kuu bara huku ikitolewa Ligi ya mabingwa hatua ya robo fainali

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI