Makambo apata timu Ujerumani


Mshambuliaji aliyewika na Mtibwa Sugar Under- 20 ambaye baadae alijiunga na Mashujaa FC ya Kigoma, Athumani Makambo amesajiliwa na klabu ya Darmstadt ya daraja la pili Ujerumani.

Makambo amesaini mkataba wa miaka mitatu, mshambuliaji huyo alionesha kiwango kikubwa na ilitabiriwa angefika mbali jambo ambalo limetimia

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI