Hii ndio timu iliyomteka Kibu Denis toka Simba SC

Klabu ya Kristiansund BK ya Norway imempa mualiko maalumu Kibu Denis ili kufanya majaribio. Akifuzu watamsajili. Atafanya majaribio hadi tarehe 8/8/2024.

Timu hiyo imegharamia safari,Chakula na malazi,Pia ipo tayari kumgharamia kwa jambo lolote.

Atafanya mazoezi na timu hiyo,na kucheza kwenye michezo ya kirafiki itakayokuwepo kwenye timu hiyo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI