Alikamwe kumpisha Manara Yanga

Aliyekuwa Meneja wa Mawasiliano wa Klabu ya Yanga,Ally Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 ,leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa licha ya kuwa kwenye maongezi na Uongozi wa Yanga juu ya kuongeza Mkataba mpya lakini amesitisha rasmi suala hilo.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI