Ahmed Ally abeba tuzo za WAKITA

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba SC Ahmed Ally ametunukiwa tuzo ya heshima ya matumizi fasaha ya lugha ya kiswahili kutoka kwa Watetezi wa Kiswahili Tanzania (WAKITA).

Katika hafla ya utoaji tuzo kwa watetezi wengine wa lugha ya kiswahili, mgeni wa heshima alikuwa Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Dkt Jakaya Kikwete ambaye pia alimkabidhi tuzo hiyo





Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI