Yanga, Simba na Azam zajitoa Kagame Cup
Timu za Simba, Yanga na Azam FC wamewataarifu CECAFA kuwa hawatoweza kushiriki mashindano ya Kagame Cup kutokana na ratiba kutokuwa rafiki kwao.
Simba, Yanga na Azam zimepanga kufanya Pre Season nje ya Tanzania na wameshapanga ratiba zao na nchi watakazokwenda kujiandaa.