Wachezaji Yanga Princess wamuaga nyota wao Mmarekani
Baada ya mchezo wa mwisho Ligi Kuu ya Wanawake wachezaji wa Yanga Princess walitumia nafasi ya kumuaga na mchezaji mwenzao Dada Kaeda anaerejea nchini Marekani kuendelea na masomo yake baada kuitumikia Yanga Princess kwa msimu mmoja.
Wachezaji wa Yanga Princess hawakufurahishwa kuondoka kwa Kaeda kwakuwa tayari walishazoeana naye na kumfanya kama ndugu yao, hivyo akiwa Marekani wanajihisj watakuwa wapole.
Hata Dada Kaeda naye amesikitishwa kuondoka kwake ingawa ni wajibu kuongeza elimu