Vipers yaipora mchezaji Kagera Sugar
Nyota wa Kimataifa wa Uganda,Dissan Galiwango yupo mbioni kukamilisha usajili wa kujiunga na klabu ya Vipers ya Uganda.
Galiwango alijiunga na Kagera Sugar Mwanzoni mwa msimu 2023-2024 akitokea Vipers ya Uganda,Atarejea Uganda baada ya kulitumikia Jumba la ladha na hekaheka #LigiKuu kwa msimu mmoja pekee.