Simba yampa thank you John Bocco
Klabu ya Simba imempa mkono wa kwaheri aliyekuwa kiongozi wa wachezaji (nahodha) John Raphael Bocco ikiwa alijiunga na klabu hiyo akitokea Azam FC.
Kwa niaba ya Wanasimba Bocco anastahili kupewa sifa ya pekee na atakumbukwa zaidi kwani rekodi zake alizoweka ni kubwa sana na Simba inakutakie mafanikio mema katika majukumu yako baada ya soka.