Safari Lager Cup kumekuchaa

Lile tukio kubwa tumekua tukisubiri sasa limefika! Mechi ya fainali ya #SafariCup itafanyika tarehe 29 Juni, viwanja vya Benjamin Mkapa.

Ahhha na sii soka kama soka tu bali experience ya kimataifa na performance kali kabisa kutoka kwa Konde Boy @harmonize_tz

Endelea kufuatilia kurasa zetu kujua tiketi zinaanza kupatikana lini na wapi maana hii sii ya kukosa.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI