Philipe Kinzumbi aitosa Yanga na kutimkia Morocco

Winga wa kimataifa wa DR Congo,Phillipe Kinzumbi amejiunga na Klabu ya Raja Casablanca kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo.

Kinzumbi ilikuwa asajiliwe na Yanga SC ya Tanzania na ilisemekana kwamba Yanga itabadilishana na Kennedy Musonda lakini dili hilo limeota mbawa kwani ametimkia Morocco


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI