Nyota wa PSG ndani ya Yanga

Rais wa Young Africans SC Mhandisi Hersi Said amempokea Mgeni wake Achraf Hakimi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro.

Mchezaji huyu bora kutoka katika Klabu ya PSG ya nchini Ufaransa ameambatana na rafiki zake saba atakuwa nchini kwa wiki moja huku wakitembelea vivutio mbali mbali vya utalii nchini.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI