Nyota Chelsea atoa maboksi ya viatu na nguo zake kwa watoto wa mitaani Senegal
Nyota wa Klabu ya Chelsea na timu ya Taifa ya Senegal, Nicolaus Jackson ametoa maboksi 20 yenye viatu na nguo alizotumia kwenye Msimu wake wa kwanza akiwa na Chelsea kwa watoto wa mtaani kwao Senegal ikiwa ni sehemu ya kutimiza falsafa inayosema upendo huanzia nyumbani.