Nyota Chelsea atoa maboksi ya viatu na nguo zake kwa watoto wa mitaani Senegal

Nyota wa Klabu ya Chelsea na timu ya Taifa ya Senegal, Nicolaus Jackson ametoa maboksi 20 yenye viatu na nguo alizotumia kwenye Msimu wake wa kwanza akiwa na Chelsea kwa watoto wa mtaani kwao Senegal ikiwa ni sehemu ya kutimiza falsafa inayosema upendo huanzia nyumbani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI