Nandy amfokea mumewe hadharani

Msanii Billnass baada ya kumtania mpenzi wake Nandy kuwa anatamani apate mtoto na mdada wa Kenya jibu la Nandy sasa lazua taharuki.

Nandy amemjibu tofauti na Bilinas alivyodhani kwani ametoa maneno ambayo yanaonekana kama ya kumfokea.

Utani wa wapendanao ni raha sanaa hasa mkiwa mmezoeshana katika utani



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI