Mbwana Makata abadili gia angani, atua Prisons


Kocha Mbwana Makata amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na klabu ya Tanzania Prisons akichukua nafasi ya Ahmad Ally.

Makata akeshasaini mkataba siku ya jana, na sasa viko vitu vichache vinakamilishwa ili aweze kutangazwa kama kocha mkuu wa klabu hio.

Kwa mujibu wa taarifa nilizonazo ni kuwa haijafahamika kama ataenda na msaidizi wake atasaidiwa na Kazumba & Mtupa ambao ni makocha wasaidizi Tanzania Prisons.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI