Mastaa wa zamani Yanga watembelea Avic Town

Wachezaji wa zamani wa Klabu ya Young Africans Sports Club leo wamewatembelea na kuzungumza na vijana 22 wa Safari Champions, walioweka kambi AVIC Town kujiandaa na mchezo Maalum wa Safari Lager Cup, utakaopigwa Jumamosi ya June 29, 2024 katika uwanja wa Mkapa, Jijini Dar Es Salaam.

Magwiji waliotembelea kambi hiyo leo ni pamoja na Edibily Lunyamila, Kenneth Mkapa, Steven Names, Said Maulid, Omary Hussein na Salvatary Edward.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI