Lameck Lawi atambulishwa Simba SC

Klabu ya Simba Sc imetangaza kumsajili beki wa kati Lameck Lawi (18) kutoka Coastal Union baada ya klabu hiyo kufikia dau linalotakiwa na Coastal Union kwa ajili ya kumuachia

Lawi amekuwa akiwindwa na Simba kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho huku kukiwa na taarifa kuwa Henock Inonga yupo njiani kuondoka klabuni hapo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI