Kumbe Zawadi Mauya ni mwanasheria wa Yanga!!!
Ni jambo zuri sana Wamefanya Klabu Yanga sc kumuongezea mkataba Mauya, wapo watakao hoji Kwa nini Yeye na Sio Vijana wapya Waingie.
Zawadi Mauya kitaaluma ni Mwanasheria ambaye ni Masters Holder, Pia ni mtu ambaye anaisaidia sana Klabu Hususan katika mambo ya Utafsiri wa Sheria hasa Sheria za Michezoni Katika Upande wa Mpira wa Miguu pia ana Verified Certificate Degree in Laws Kutoka FIFA huyu.
Yanga wanamuanda endapo akistaafu ataendelea kufanya kazi Yanga SC