Kipre Jr kuuzwa MC Alger
Azam FC imepokea ofa rasmi kutoka kwa MC Alger ya kutaka kumsajili winga wao raia wa Ivory Coast, Kipré Zunon (24),
Imefahamika Azam pamoja na uongozi wa Kipré sasa watasoma ofa hiyo na kufikia uamuzi wa mwisho.
Alifunga mabao 10 katika msimu uliomalizika hivi punde.