Jobe gumzo kila kona

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza kuwa baadhi ya vilabu kutoka nchi mbalimbali vimegonga hodi Msimbazi zikihitaji huduma ya mshambuliaji wa Simba Pa Omar Jobe kwenye dirisha kubwa la usajili.

Pa Omar Jobe hakubahatika kuwa na msimu mzuri kwenye timu hiyo baada ya kusajili kwenye dirisha dogo akichukua nafasi ya Moses phiri ambapo alifanikiwa kufunga goli moja ligi kuu na goli moja kwenye michuano ya Cafcl.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI