JKT Tanzania yafuta benchi lote la ufundi
JKT Tanzania FC imeifuta kazi benchi lao lote la ufundi ambalo lilikuwa linaongozwa na kocha wake Malale Hamsini ambaye nae ni miongoni mwa waliotumuliwa.
Haijajulikana sababu pekee iliyopelekea Malale kutimuliwa lakini Inasemekana kwamba uongozi wa JKT Tanzania haujafurahishwa na timu hiyo kunusurika kushuka daraja na ikiwa ilikuwa ina wachezaji wazuri