Imeisha hiyo...Prince Dube ailipa Azam


Mshambuliaji ambaye ni raia Zimbabwe, Prince Dube amekamilisha kulipa fidia zote alizokuwa akidaiwa na klabu ya Azam ili akatafute changamoto sehemu nyingine.

Mshambuliaji Prince Dube anasubiri barua ( Release Letter ) kutoka Azam baada ya kukamilisha malipo hayo, ameshetumiwa ujumbe kuwa atapewa barua hiyo mwanzoni mwa wiki ijayo.

Prince Dube anahitaji kubaki Tanzania kucheza moja ya klabu za Kariakoo kuelekea msimu ujao kwenye michuano mbalimbali ya ndani na ya CAF kwa 2024/25.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI