Edna Lema kurejea Yanga Princess
Klabu ya Young Africans imefanya mazungumzo na aliyekuwa kocha wao wa Yanga Princess Edna Lema ili kurejea klabuni hapo.
Edna Lema ana mkataba wa mwaka mmoja wa Biashara Utd kama kocha msaidizi unakaribia kumalizika mwezi huu.