Diva The Bawse anahitaji kidume cha kumdekeza
Mtangazaji maarufu Diva the bawse baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake Abdul sasa ametangaza kuwa Jimbo liko wazi anatamani kumpata mwanaume atakayeweza kumdekeza.
Diva The Bawse ambaye kwa sasa ni mtangazaji wa Wasafi FM amesema hayo hivi karibuni ambapo anadai anatamani kupata kidume kitakachoweza kumdekeza.
"Natamani kudeka, mimi ni mwanamke napenda sana kudeka hasa kwa mwanaume anayejua mapenzi, kudeka ni haina ya staili zetu walimbwende kwa sisi" alisema staa huyo wa mtangazaji Tanzania