Deborah Mavambo asajiliwa Simba

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa mwenye uraia wa Angola na Congo, Deborah Mavambo.

Deborah ameshawasili kwaajili ya kukamilisha dili la usajili, kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kimesema Simba imempa mkataba wa miaka miwili.

Mpaka sasa Simba imefanya sajili tatu za kimataifa ambazo ni
1.Joshua Mutale Winga
2.Steven Mukwala-Straika
3.Deborah Mavambo- Kiungo



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI