Coastal Union yarudisha fedha za Lawi, Simba SC


Klabu ya Coastal Union ya Tanga imerudisha fedha ambazo Simba SC walikuwa wamelipa kwaajili ya uhamisho wa beki wa kati Lameck Lawi.

Coastal wamethibitisha kufuta dili hilo wakidai Simba imekiuka makubaliano ambayo yapo kinyume na utaratibu.

Jana kupitia mitandao iliweka wazi usajili wa Lawi katika klabu ya Simba lakini baadaye Coastal wakapinga vikali usajili huo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI