Che Fondoh Malone ataka kuondoka Simba

Beki wa kati Che Fondoh Malone ameanzisha mtifuano akifosi aondoke ikidaiwa kuwa hana furaha ndani ya Simba SC, utata umeongezeka baada ya Future ya Misri kuonyesha nia ya kumtaka beki huyo aliyejiunga na Simba msimu uliyopita.

Viongozi hawataki kumuuza kwani inshu ya Henock Inonga imekaa vibaya, hivyo kuruhusu kuondoka kwa miamba hii miwili itapelekea safu ya ulinzi ya Simba SC kuwa wazi jambo ambalo Klabu hawakujiandaa nalo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI