Bodi mpya ya wakurugenzi Simba SC hii hapa
Wajumbe walioteuliwa na Mohamed Dewji maarufu Modewji kuwa wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba SC upande wa Mwekezaji.
Waliochaguliwa ni Cresentius Magori, Hussein Kita, Salim Abdallah Tryagain, Mohamed Nassoro, Zulfikar Chandu na Rashid Shangazi
Try Again, Shangazi na Zulfikar walikuwemo kwenye bodi ya wakurugenzi iliyojiuzuru hivi karibuni kabla ya kurejeshwa tena chini ya Modewji